Zipo taarifa kuwa Dr.Ulimboka anarejea leo nchini akitokea kwenye matibabu.
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari nchini Tanzania Dk. Stephen Ulimboka
aliyekuwa akitibiwa nchini Afrika Kusini baada ya kupigwa na watu
wasiojulikana amerejea leo nchini akiwa mwenye afya.
-
*MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka
Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu
kwenye ukum...
No comments:
Post a Comment