Nahodha
wa Scotland, Darren Fletcher jana alirejea uwanjani kwa 'mguu mbaya'
wakati Manchester United ikifungwa 2-1 na Aberdeen katika mechi maalum
kwa ajili ya kumuaga gwiji wa Dons, Neil Simpson.
Kocha
wa zamani wa Aberdeen, Sir Alex Ferguson aliwapanga Ryan Giggs, Paul
Scholes na Rio Ferdinand katika mechi hiyo maalum ya mchezaji wake wa
zamani, ambaye sasa ni Mkuu wa akademi ya vijana ya Pittodrie.

Darren Fletcher akiwa na beji ya Unahodha

Jonny Hayes akifunga bao la kwanza

Hayes (katikati) akipongezwa na wachezaji wenzake wa Aberdeen

Ryan Giggs akipambana uwanjani

Fletcheruwanjani

Darren Fletcher akisaini autographs

Kocha Msaidizi wa Aberdeen,r Archie Knox (kushoto) akiingia uwanjani akiwa ameongozana na Sir Alex Ferguson

Federico Macheda (kushoto) akichuana na mchezaji wa Aberdeen, Isaac Osbourne

Neil Simpson akiwapungia mikono mashabiki kuwaaga

Shabiki mtoto wa Aberdeen akiwa amevaa mask la Wayne Rooney..
NA BIN ZUBEIRY

No comments:
Post a Comment