Hizo
ni picha za jambazi ambaye amepigwa risasi ya paja na askari wa doria
leo mida ya saa 5 kasoro asubuhi ya leo na walikuwa wawili , mmoja
amekimbia na mmoja wamemkamata na wananchi wenye hasira kali wamempiga
na mawe ila hajafa na askari wamemchukua kwenda kumtibia ili awataje
wenzie na inasemekana walivamia maeneo ya ubungo na wakapora pikipiki
(bodaboda) wakakimbia, ila hawajawahi kupora kitu chochote zaidi ya
pikipiki (boda boda) na wameuawa maeneo ya kigogo km unaenda tabata
pikipiki yenyewe yenye usajili wa namba T 606 aina ya FEKON..
Rais Samia: Vijana Ndio Injini ya Serikali, Hatma ya Tanzania Ipo Mikononi
Mwenu
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema
vijana ndio nguzo kuu ya uendeshaji wa Seri...
4 hours ago















WaTz kama tunaweza haya, kwanini tunashindwa kufanya hivi kwa mafisadi....? Au angalau tupunguze kuvunja haki za binadamu na tuwafunge maisha mafisadi wote kwa hasira hizi hizi za kuchukia wezi??? Aggghhhh....
ReplyDelete