Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, August 10, 2012

Maelfu wamiminika kuaga mwili wa rais John evans Atta Mills jijini Accra



 Foleni ya maelfu ya wananchi wa Ghana wakimiminika kwa siku ya pili mfululizo kwenda kutoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa rais wa nchi hiyo Marehemu John Evans Atta Mills katika Ikulu jijini Accra leo jioni. Mazishi ya kiongozi huyo yanatarajiwa kufanyika kesho na kuhudhuriwa na marais takriban 16 wa Afrika
 Foleni haiishi
 Mchana kutwa foleni haiishi

Picha kwa Hisani ya Michuzi Blog

No comments:

Post a Comment