Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Saturday, August 11, 2012

MBWANA SAMATTA ANAMILIKI GARI YA GHARAMA CONGO BIG UP SANA KWAKE



Mbwana Samatta mchezaji wa zamani wa Simba ambae kwa sasa makazi yake ni Congo Drc kwenye club ya Tp Mazembe, hii picha kaiweka facebook na hajaandika chochote kama ni lake au vp lakini mashabiki wake moja kwa moja wameanza kumpa pongezi.

No comments:

Post a Comment