MBWANA SAMATTA ANAMILIKI GARI YA GHARAMA CONGO BIG UP SANA KWAKE
Mbwana
Samatta mchezaji wa zamani wa Simba ambae kwa sasa makazi yake ni Congo
Drc kwenye club ya Tp Mazembe, hii picha kaiweka facebook na hajaandika
chochote kama ni lake au vp lakini mashabiki wake moja kwa moja
wameanza kumpa pongezi.
-
*MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka
Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu
kwenye ukum...
No comments:
Post a Comment