Ramadhan Chombo Redondo ana mkataba na Azam FC hadi June 30,
2013... Kwa maana hiyo Chombo ni mchezaji halali wa Azam FC na Azam FC haina
mpango wa kumuuza isipokuwa kumuongeza mkataba, Simba waangalie wasije
wakapoteza pesa zao kama kwenye suala la Jeba. NUKTA
MIAKA 18 BAADAYE: JK AKUTANA TENA NA CATHERINE, BINTI ALIYEFANYIWA UPASUAJI
WA MOYO AKIWA NA MIAKA MINNE
-
RAIS mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, leo Mei 29, 2026
amekutana tena na Bi. Catherine P. Conrad Minja, aliyefanyiwa upasuaji wa
moy...
1 day ago


No comments:
Post a Comment