Ramadhan Chombo Redondo ana mkataba na Azam FC hadi June 30,
2013... Kwa maana hiyo Chombo ni mchezaji halali wa Azam FC na Azam FC haina
mpango wa kumuuza isipokuwa kumuongeza mkataba, Simba waangalie wasije
wakapoteza pesa zao kama kwenye suala la Jeba. NUKTA
Fulham vs Aston Villa na Vita Ya Aalama tatu
-
Mchezo wa Ligi Kuu ya England kati ya Fulham na Aston Villa unaotarajiwa
kupigwa Aprili 25, 2026, ni pambano muhimu kwa timu zote mbili katika hatua
za m...
19 hours ago


No comments:
Post a Comment