Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Monday, August 6, 2012

NEWS UPDATE::::AZAM WAPINGA USAJILI WA REDONDO WASEMA BADO ANA MKATABA NAO

Ramadhan Chombo Redondo ana mkataba na Azam FC hadi June 30, 2013... Kwa maana hiyo Chombo ni mchezaji halali wa Azam FC na Azam FC haina mpango wa kumuuza isipokuwa kumuongeza mkataba, Simba waangalie wasije wakapoteza pesa zao kama kwenye suala la Jeba. NUKTA


No comments:

Post a Comment