![]() |
| Waziri wa Habari Utamaduni Vijana na Michezo, Dk Fenella Mkunagara (kushoto)akimkabidhi Kombe Nahodha wa Simba B, Hassan Hatibu |
![]() |
| Simba wakishangilia kombe lao baada ya kukabidhiwa |
| Dk Mukangara akikagua wachezaji wa Simba |
| Kikosi cha kwanza cha Simba B |
| Mtibwa 'full muziki' |
| Hatari langoni mwa Mtibwa |
| BAO LA KWANZA; Edward Christopher akishangilia, nyuma yake Kado akilaumiana na beki wake |
| KAKA VIPI? Kocha wa Mtibwa Sugar akizungumza na Nahodha wake, Salum Swedi |
| Edward Christopher akitafuta mbonu za kumtoka Yussuf Nguya |
| Edward anamtoka Nguya |
| Kado anadaka, huku Swedi akimlinda |
![]() |
| Haroun Athumani akimburuza Swedi |
![]() |
| Rashid Ismail akimuinua Edward, baada ya kugongana na Kado, aliyelala chini |
![]() |
| Kado anatibiwa, huku mabeki wa Mtibwa wakiulizana kulikoni wanaburuzwa na wadogo zao |
![]() |
| Hapa wakati timu zikijiandaa kuingia kwenye dakika 30 za nyongeza |
![]() |
| Mawaidha kuelekea dakika 30 za nyongeza |
![]() |
| Edo kafunga la ushindi |
![]() |
| Edo kulia akishangilia na mwenzake |
![]() |
| Ibrahim Ajibu akishangilia kwa staili yake mbele ya jukwaa la Yanga |
![]() |
| Matokeo ya mwisho |
![]() |
| William Lucian kulia akijiandaa kumtoka mtu |
![]() |
| Wachezaji wa Simba wakiwa wamembeba kocha wao kumpongeza |
![]() |
| Makamu Mwenyekiti wa Simba, Geoffrey Nyange 'Kaburu' akimpongeza kocha Matola |
![]() |
| Katibu wa Simba SC, Evodius Mtawala akimpongeza Abuu |
![]() |
| Huyu ndiye Golden Boy wa Simba baadaye, Edward Christopher |
![]() |
| Edward akikabidhiwa mfano wa hundi ya Sh. Mlioni 2 Edward |
![]() |
| MVP Abuu akikabidhiwa mfano wa hundi |
![]() |
| Wachezaji wa Mtibwa wakipewa Medali zao |
![]() |
| Nahodha wa Mtibwa, Swedi akipokea mfano wa hundi ya Sh. Milioni 20 zawadi ya washindi wa pil |
![]() | |||||||||||||
| Mabingwa wa kwanza wa Kombe la BankABC Sup8R |






















No comments:
Post a Comment