KIJANA
mmoja ameuawa wakati mwenzake anayesadikiwa kuwa ni Ustadh kwa mavazi
aliyokuwa amevaa, akinusurika kuuawa baada ya kutuhumiwa kuiba baiskeli
eneo ya Kihonda mkoani Morogoro jana jioni. Kwa mujibu wa jeshi la
Polisi, mtuhumiwa huyo aliye hai amelazwa katika hospitali ya Rufaa
mkoani hapa kwa matibabu.
TMA NA EMEDO WAONGEZA NGUVU USAMBAZAJI WA TAARIFA ZA HALI YA HEWA
-
Katika kuendelea kuboresha usambazaji wa taarifa za hali ya hewa kwa jamii,
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetembelewa na Wataalamu wa Shirika
lis...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment