Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya
moja na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM mjini Dodoma
wakati wa kikao cha NEC kilichofanyika jana. Kikao hicho kilikuwa cha
mwisho kwa wajumbe wa NEC baada ya kumalizika kwa kipindi cha miaka
mitano ya uongozi wao.Picha na Freddy Maro-IKULU
MRADI WA BUREFOBI WACHOCHEA UTALII IKOLOJIA KATIKA HIFADHI YA MISITU PUGU
KAZIMZUMBWI
-
Na Mwandishi Wetu, Pwani
WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) umesema maboresho ya miundombinu
yanayotekelezwa kupitia Mradi wa Kujenga Ustahimili...
7 hours ago

No comments:
Post a Comment