Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya
moja na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM mjini Dodoma
wakati wa kikao cha NEC kilichofanyika jana. Kikao hicho kilikuwa cha
mwisho kwa wajumbe wa NEC baada ya kumalizika kwa kipindi cha miaka
mitano ya uongozi wao.Picha na Freddy Maro-IKULU
WAZIRI MKUU ATOA SIKU TANO KNCU ILIPE DENI LA SH. MILIONI 400
-
*Ni za wakulima wa kahawa AMCOS ya Mwika Kinyamvuo
*Akagua ujenzi wa hospitali ya Halmashauri ya Manispaa ya Moshi
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amemua...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment