Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya
moja na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM mjini Dodoma
wakati wa kikao cha NEC kilichofanyika jana. Kikao hicho kilikuwa cha
mwisho kwa wajumbe wa NEC baada ya kumalizika kwa kipindi cha miaka
mitano ya uongozi wao.Picha na Freddy Maro-IKULU
KUJENGA UTAALAMU: TAEC YAWAFUNDISHA WATAALAMU 50 KUHUSU USALAMA WA MIONZI
KATIKA SEKTA YA AFYA
-
Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) imefanikisha kuendesha mafunzo ya
kitaifa ya siku nne kuhusu usalama wa mionzi ya mashine za X-Ray na vyanzo
vingin...
8 hours ago

No comments:
Post a Comment