Washiriki
wa Redds Miss Arusha wakiwa katika picha ya pamoja muda mfupi baada ya
kuwasili katika kambi yao ya mazoezi kujiandaa na shindano lao
litakalofanyika Septemba 8, 2012 katika Hoteli ya Naura Spring jijini
Arusha. Jumla ya waremo 11 wanatarajia kuchuana vikali kuwania taji
hilo. (picha na Father Kidevu Blog).
Balozi wa Baba Mtakatifu Awasili Dar, Asaini Kitabu cha Maombolezo ya
Kardinali Pengo
-
*Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.*
*Balozi wa Baba Mtakatifu nchini Tanzania, Askofu Mkuu Angelo Accattino,
amewasili katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Yos...
23 minutes ago



No comments:
Post a Comment