Daraja la Kigamboni likiendelea kujengwa katika bahari ya Hindi eneo la Kurasini. Daraja hilo litakapokamilika litakua na njia 6 pamoja na barabara za juu na kuwa moja ya Daraja kubwa na la kipekee Afrika mashariki na kati.
UCSAF Yajivunia Kupeleka Mawasiliano Vijijini, Zaidi ya Minara 2,000
Yajengwa Nchini.
-
Na Belinda Joseph- Dodoma.
Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) umeendelea kuwa nguzo muhimu katika
kusogeza huduma za mawasiliano karibu na wananchi, hus...
10 hours ago



No comments:
Post a Comment