Je! Wewe ni mwanafunzi wa chuo? Unahitaji mshiko wa ziada tofauti na boom ama mpaka utumiwe na mdingi? Then Tangazo hili chini si la kupuuzia:
TANGAZO KWA WAJASIRIA HIPHOP: Cheusidawa inatafuta wanafunzi wa vyuoni ambao wako tayari kufanya part time work ili kujipatia kipato cha ziada.. esp..wauzaji wa merchandises,cds, books and tix... tuandikie email yenye title hii:: MJASIRIA HIPHOP kwenda humu--> cheusidawatv@gmail.com.
VIJANA WAKUMBUSHWA KULINDA TASWIRA YA NCHI KIMATAIFA
-
Serikali imewataka vijana wanaopata fursa za ajira nje ya nchi kuwa
mabalozi wa Taifa kwa kuzingatia nidhamu, uadilifu na tamaduni katika nchi
wanazokwenda...
7 hours ago


No comments:
Post a Comment