| Polisi aliyejihami kwa bunduki na radio ya mawasiliano, akishika doria kwenye lango la kuingilia chumba cha mahakama ambako watu 29 walifikishwa mahakamani hapo Jumanne Oktoba 16, 2012, wakikabiliwa na mashtaka kadhaa ya kuvamia makanisa, kuharibu, kuiba na kuchoma mali za makanisa hayo wiki iliyopita huko Mbagala jijini Dar es Salaam. Wote wamerejeshwa mahabusu hadi Oktoba 30 ambapo mahakimu waliokuwa wakisikiliza kesi hiyo, wameahidi kutoa uamuzi juu ya hatma ya dhamana. Source:K-VIS BLOG |
KATIBU MKUU WIZARA YA AFYA DKT. GRACE MAGEMBE, KAMISHNA WA DCEA ARETUS LYMO
WATEMBELEA BANDA LA TMDA SABASABA 2026
-
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Grace Magembe, ametembelea banda la
TMDA katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam
(Sabasaba) n...
2 hours ago




Yes fundisho.com
ReplyDeletetuna futa udini. Thank you mhkm y kst