Polisi aliyejihami kwa bunduki na radio ya mawasiliano, akishika doria kwenye lango la kuingilia chumba cha mahakama ambako watu 29 walifikishwa mahakamani hapo Jumanne Oktoba 16, 2012, wakikabiliwa na mashtaka kadhaa ya kuvamia makanisa, kuharibu, kuiba na kuchoma mali za makanisa hayo wiki iliyopita huko Mbagala jijini Dar es Salaam. Wote wamerejeshwa mahabusu hadi Oktoba 30 ambapo mahakimu waliokuwa wakisikiliza kesi hiyo, wameahidi kutoa uamuzi juu ya hatma ya dhamana. Source:K-VIS BLOG |
BENKI YA CRDB, UNDP zazindua programu kuwasaidia wafanyabiashara kufikia
Soko Huru la Afrika (AfCTA)
-
*Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Exaud Kigahe (wa pili kushoto)
akikata utepe kuashiria kuzindua programu ya kuwasaidia wafanyabiashara
wadogo na wa ...
6 hours ago
Yes fundisho.com
ReplyDeletetuna futa udini. Thank you mhkm y kst