Aidha, ujio wa Mbowe haukujulikana mapema kiasi cha wananchi kushangaa kumuona jukwaani ghafla tu. Pia, Mh Mbowe hakuweza kumnadi mgombea wa chama hicho kwa kuelezwa kwamba alikuwa anashikiliwa na Polisi alikolazwa hospitali ya Mt Meru na hivyo kushindwa kuhudhuria mkutano huo.
Waandishi wa habari wanufaika na huduma za JAB Sabasaba
-
*Na Mwandishi Wetu*
*Dar es Salaam. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea
kutoa huduma mbalimbali kwa waandishi wa habari, wadau wa se...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment