Askari wa
Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) Pacificus Cleophase Simon mwenye namba
G2573 ambaye anadaiwa kumuua Mwandishi wa Habari, Daudi Mwangosi katika
kijiji cha Nyololo, Mufindi akiwa amekaa kwenye benchi muda mfupi kabla
ya kula kiapo chake kwa Mlinzi wa Amani kabla hajafikishwa mahakamani.
MIAKA 18 BAADAYE: JK AKUTANA TENA NA CATHERINE, BINTI ALIYEFANYIWA UPASUAJI
WA MOYO AKIWA NA MIAKA MINNE
-
RAIS mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, leo Mei 29, 2026
amekutana tena na Bi. Catherine P. Conrad Minja, aliyefanyiwa upasuaji wa
moy...
20 hours ago
.jpg)

No comments:
Post a Comment