Lori la
mafuta limeteketea kwa moto muda mfupi uliopita katikati ya Eneo la
Mlandizi na Chalinze Mpaka sasa Sababu za lori hilo kuwaka moto
hazijajulikana na Hakuna aliyeripoti kufa wala kujeruhiwa mpaka sasa.
Tutazidi kuwajuza kadri taarifa zinavyotufikia kutoka kwa Ripota wetu
aliyepo eneo hilo
SERIKALI YATAKA WANANCHI WAELIMISHWE KUHUSU ULINZI WA TAARIFA BINAFSI
-
Na Mwandishi Wetu, WMTH-Dodoma
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa
Kairuki (Mb), tarehe 15 Disemba 2025 amefan...
2 hours ago


No comments:
Post a Comment