Lori la
mafuta limeteketea kwa moto muda mfupi uliopita katikati ya Eneo la
Mlandizi na Chalinze Mpaka sasa Sababu za lori hilo kuwaka moto
hazijajulikana na Hakuna aliyeripoti kufa wala kujeruhiwa mpaka sasa.
Tutazidi kuwajuza kadri taarifa zinavyotufikia kutoka kwa Ripota wetu
aliyepo eneo hilo
MHANDISI SEFF AKAGUA UJENZI WA BARABARA ZA UWANJA WA AFCON ARUSHA
-
-Ataka kazi zikamilike ifikapo Mei 2027.
Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mhandisi
Victor Seff amefanya ziara ya kukagu...
1 hour ago


No comments:
Post a Comment