Lori la
mafuta limeteketea kwa moto muda mfupi uliopita katikati ya Eneo la
Mlandizi na Chalinze Mpaka sasa Sababu za lori hilo kuwaka moto
hazijajulikana na Hakuna aliyeripoti kufa wala kujeruhiwa mpaka sasa.
Tutazidi kuwajuza kadri taarifa zinavyotufikia kutoka kwa Ripota wetu
aliyepo eneo hilo
MIAKA 18 BAADAYE: JK AKUTANA TENA NA CATHERINE, BINTI ALIYEFANYIWA UPASUAJI
WA MOYO AKIWA NA MIAKA MINNE
-
RAIS mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, leo Mei 29, 2026
amekutana tena na Bi. Catherine P. Conrad Minja, aliyefanyiwa upasuaji wa
moy...
19 hours ago


No comments:
Post a Comment