Lori la
mafuta limeteketea kwa moto muda mfupi uliopita katikati ya Eneo la
Mlandizi na Chalinze Mpaka sasa Sababu za lori hilo kuwaka moto
hazijajulikana na Hakuna aliyeripoti kufa wala kujeruhiwa mpaka sasa.
Tutazidi kuwajuza kadri taarifa zinavyotufikia kutoka kwa Ripota wetu
aliyepo eneo hilo
NBAA YASHIRIKI MAONESHO YA 50 YA KIMATAIFA YA BIASHARA YA SABASABA 2026
-
BODI ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) inashiriki
Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya 50 yanayoendelea kwenye Viwanja vya
Sabasab...
11 hours ago


No comments:
Post a Comment