Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam,Sheikh Issa Ponda leo
amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam
kwa madai mbalimbali pamoja na kuwashawishi baadhi ya Waislamu kuvamia
eneo la Kiwanja katika eneo la Chang'ombe jijini Dar es Salaam, kuwashawishi
Waislamu kutojitokeza katika zoezi la Uandikishaji katika Sensa ya Watu
na Makazi. Hali ya ulinzi imeimarisha katika viunga vya Mahakama hiyo. Habari kamili kutoka Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu pamoja na Picha zitawajia hivi punde.
Wanafunzi 40 Mabalozi wa Utalii Watembelea Ngorongoro na Serengeti
-
Na Pamela Mollel,Babati
Wanafunzi 40 kutoka shule nne zilizopo ndani ya Hifadhi ya Jamii ya
Wanyamapori ya Burunge (Burunge WMA) wilayani Babati, mkoa wa M...
3 hours ago


No comments:
Post a Comment