Waziri
wa Fedha Dr. William Mgimwa(kushoto) akitoa ufafanuzi kwa waaandishi wa
habari jana jijini Dar es salaam mara baada ya kukutana na ujumbe wa
Shirika la Fedha Duniani(IMF)uliopo nchini ili kutathmini hali ya ukuaji
wa uchumi ambapo ukuaji wa pato la Taifa kwa 2012 unatarajia kukua kati
ya asilimia 6.5 na asilimia 7.0. Ujumbe huo umesema kuwa uchumi wa
Tanzania unaendelea kuimarika vizuri . Kulia ni Kiongozi wa Ujumbe huo
wa IMF Bw. Paolo Mauro.
WAZIRI WA ULINZI AIPONGEZA JKT NA JWTZ KUIMARISHA ULINZI NA USALAMA NCHINI
-
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Dkt. Rhimo Nyansaho,
amewapongeza viongozi wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na Jeshi la Ulinzi
la Wananc...
12 hours ago

No comments:
Post a Comment