Waziri
wa Fedha Dr. William Mgimwa(kushoto) akitoa ufafanuzi kwa waaandishi wa
habari jana jijini Dar es salaam mara baada ya kukutana na ujumbe wa
Shirika la Fedha Duniani(IMF)uliopo nchini ili kutathmini hali ya ukuaji
wa uchumi ambapo ukuaji wa pato la Taifa kwa 2012 unatarajia kukua kati
ya asilimia 6.5 na asilimia 7.0. Ujumbe huo umesema kuwa uchumi wa
Tanzania unaendelea kuimarika vizuri . Kulia ni Kiongozi wa Ujumbe huo
wa IMF Bw. Paolo Mauro.
WAZIRI WA FEDHA ASISITIZA UMUHIMU WA NCHI ZA AFRIKA KUTUNZA VYANZO VYA MAJI
ILI KUWA NA UCHUMI ENDELEVU
-
Waziri wa Fedha Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akichangia mada katika
mkutano ulioangazia umuhimu wa sekta ya maji katika maendeleo ya watu na
uchumi...
13 hours ago

No comments:
Post a Comment