Waziri
wa Fedha Dr. William Mgimwa(kushoto) akitoa ufafanuzi kwa waaandishi wa
habari jana jijini Dar es salaam mara baada ya kukutana na ujumbe wa
Shirika la Fedha Duniani(IMF)uliopo nchini ili kutathmini hali ya ukuaji
wa uchumi ambapo ukuaji wa pato la Taifa kwa 2012 unatarajia kukua kati
ya asilimia 6.5 na asilimia 7.0. Ujumbe huo umesema kuwa uchumi wa
Tanzania unaendelea kuimarika vizuri . Kulia ni Kiongozi wa Ujumbe huo
wa IMF Bw. Paolo Mauro.
HESLB yaanza kupokea maombi ya mikopo Diploma
-
Na: Mwandishi Wetu, DAR
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeanza rasmi kupokea
maombi ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ngazi ya Stash...
12 hours ago

No comments:
Post a Comment