Gari aina ya Toyota Coaster inayofanya safari zake kati ya Ubungo na Tegeta jijini Dar es Salaam imepata ajali mbaya leo mchana baada ya kugongana na gari lingine na kusababisha vifo vya watu wanaokadiriwa kuwa zaidi ya 18 katika eneo la Makongo Sekondari jijini Dar. Maiti bado zipo eneo la tukio, habari zaidi zitakujia hivi punde.!.Chanzo GPL
WAZIRI WA ULINZI AIPONGEZA JKT NA JWTZ KUIMARISHA ULINZI NA USALAMA NCHINI
-
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Dkt. Rhimo Nyansaho,
amewapongeza viongozi wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na Jeshi la Ulinzi
la Wananc...
13 hours ago


No comments:
Post a Comment