Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimjulia hali Sheikh Mkuu wa Bagamoyo, Sheikh Abdallah Masoud Jembe, anayesumbuliwa na maradhi, wakati Makamu wa Rais alipofika nyumbani kwa Sheikh huyo, eneo la Ramiah mjini Bagamoyo, leo Nov 27, 2012 kwa ajili ya kumjulia hali.
Zanzibar kunadi Utalii, Utamaduni na Urithi wake Jijini Arusha
-
*Na Mwandishi Wetu, Arusha.*
*Zanzibar imeendelea kutumia Maonesho ya Kimataifa ya Utalii ya Kili Fair
kama jukwaa la kutangaza vivutio vyake vya utalii,...
2 hours ago



No comments:
Post a Comment