Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimjulia hali Sheikh Mkuu wa Bagamoyo, Sheikh Abdallah Masoud Jembe, anayesumbuliwa na maradhi, wakati Makamu wa Rais alipofika nyumbani kwa Sheikh huyo, eneo la Ramiah mjini Bagamoyo, leo Nov 27, 2012 kwa ajili ya kumjulia hali.
Rais Samia Aagiza Hoja za Wafanyakazi Kufanyiwa Kazi Kwa Kina Kuimarisha
Haki na Hadhi Nchini
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan,
ameielekeza Ofisi ya Waziri Mkuu kufanyia kazi kwa kina hoja zote
zili...
4 hours ago



No comments:
Post a Comment