Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali na kumpa pole Katibu wa Mufti wa
Zanzibar Sheikh Fadhili Soraga ambaye amelazwa katika chumba cha dharura
katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kufuatia majeraha ya usoni na
kifuani yaliyotokana na kurushiwa Tindikali na watu wasiojulikana
wakati akifanya mazoezi katika Kiwanja cha Mwanakwerekwe mjini Unguja
juzi. Rais ambaye amerejea leo Jumanne Novemba 6, 2012 akitokea katika
ziara ya kikazi ya takriban juma moja katika mikoa ya Kilimanjaro,
Arusha, Manyara na Singida, amemtakia Sheikh Soraga nafuu ya
haraka.PICHA NA IKULU
JK AONGOZA GPE KUPANUA WIGO WA ELIMU KWA WATOTO DUNIANI
-
Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete akiongoza Mkutano huo wa Bodi ya GPE.
Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya GPE Dkt. Jakaya Kikwete akiwa na viongozi
wa Taasis...
10 hours ago



No comments:
Post a Comment