Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Tuesday, December 11, 2012

BONGO MOVIE YAPATA VIONGOZI WAPYA WAJUE HAPA




Hivi karibuni Bongo Movies ilipata viongozi wake wapya katika uchaguzi uliofanyika Leaders Club jijini Dar es Salaam.
Viongozi wapya waliochaguliwa ni pamoja na Vincent Kigosi aliyechaguliwa kuwa Mwenyekiti Mkuu, Irene Uwoya Makamu wa Mwenyekiti , Chiki Mchoma Katibu Mkuu, Single Mtambalike aka Richie Richie alichaguliwa kuwa Mtunza Fedha Mkuu na Makamu wake kuwa Jackline Wolper.
Kutoka kushoto ni Chiki Mchoma, Ray na Jack Wolper
Mwenyekiti wa zamani wa Bongo Movies JB akimpongeza Jackline
Shilole akipiga kura
Irene Uwoya na Chiki

No comments:

Post a Comment