Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Tuesday, December 4, 2012

*HABARI KWA UFUPI,ODINGA NA MUSYOKA WAUNGANA


Waziri Mkuu, Raila Odinga
Makamu wa Rais, Kalonzo Musyoka.
 Waziri  Mkuu wa Kenya, Raila Odinga na Makamu wa Rais wa nchi hiyo, Kalonzo Musyoka, wameunda muungano wa kisiasa kuelekea mshike mshike wa uchaguzi mkuu unaotajia kufanyika mwakani, nchini humo. Imeelezwa kuwa wawili hao wameamua kuunganisha nguvu ili kujiandaa kutoa upinzani kwa chama Tawala na vyama vingine vya siasa vinavyshiriki katika uchaguzi huo.

No comments:

Post a Comment