![]() |
![]() |
Mwinyi Kazimoto akiwa amezibiwa njia kwa staili hadi ya kulala kama unavyoona hapo |
![]() |
Cheki ulinzi huo langoni mwa Uganda, Ngassa na Bocco peke yao wangefanya nini |
![]() |
Amri Kiemba anakokota ngoma |
![]() |
John Bocco akiwa amezibiwa njia |
![]() |
John Bocco leo aliwekewa ulinzi mkali, kama unavyona hapa |
![]() |
Mrisho Ngassa akidhibitiwa na beki wa Uganda |
![]() |
Mwinyi Kazimoto akijaribu kufumua shuti mbele ya beki wa Uganda |
![]() |
Kipa kadaka, Ngassa na Bocco leo hoi |
![]() |
Kocha wa Stars, Kim Poulsen baada ya mechi |
![]() |
Kapteni Kaseja haamini macho yake |
![]() |
Emmanuel Okwi akifuatilia mchezo benchi baada ya kuumia na kutoka |
![]() |
Bocco mawindoni, lakini ulinzi wa kutosha ulimynima mabao leo.. na bin zubery |
No comments:
Post a Comment