Katibu
Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) anapenda kuwatangazia
watahiniwa wanaotarajia kufanya mtihani wa Kidato cha Sita mwaka 2013
kuwa, mtihani huo utafanyika mwezi Februari. Mabadiliko ya mihula
yaliyofanywa na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi yataanza kutumika
na Watahiniwa wa Kidato cha Nne mwaka 2013, ambao watafanya mtihani wao
mwezi Novemba na Watahiniwa wa Kidato cha Sita mwaka 2014 ambao
watafanya mtihani wao mwezi Mei.
KAYA 7,816 TANGA ZANUFAIKA NA MPANGO WA BIMA YA AFYA KWA WOTE
-
Na Oscar Assenga,TANGA.
'
Zaidi ya wananchi 20,000 kutoka kaya masikini mkoani Tanga wameanza
kunufaika na mpango wa Bima ya Afya kwa Wote, unaolenga kub...
13 hours ago


No comments:
Post a Comment