Filamu aliyoigiza marehemu Sajuki na mke wake Wastara ‘Kivuli’leo imeingia sokoni rasmi. Filamu hiyo iliyotayarishwa na Wajay Film Co na kusambazwa na kampuni ya Steps imewahusisha pia waigizaji Slim Omary na Mohammed Said.
VIONGOZI GEITA WATAKA USHIRIKIANO WA POLISI JAMII UDUMISHWE KUPUNGUZA
UHALIFU
-
Wananchi wa Mkoa wa Geita wametakiwa kuendelea kudumisha na kuimarisha
ushirikiano uliopo kati ya Jeshi la Polisi Jamii na wananchi, ili kupunguza
uhalif...
11 hours ago


No comments:
Post a Comment