Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Saturday, January 26, 2013

HAYA NDO MADHARA YA KUTUMIA SIMU IKIWA KWENYE CHARGE




Siku chache zilizopita kuana mtu alikuwa anacharge simu yake nyumbani. Kila mara alipokuwa akipigiwa simu alikuwa anapokea wakati simu iko kwenye charge.Baada ya dakika kidogo simu ikapata short wakati anaongea na simu kilichomtokea ni kuungua mikono na pia kitanda na mto aliokuwa amelalia vyote viliungua. 
Kwa hali kama hii napenda kuwajulisha wadau wangu kuwa kuweni makini wakati unacharge simu na simu ikiita itoe kwenye charge yasije yakakutokea kama yaliyomtokea kijana huyo kwani vidole vyake vimearibika 

No comments:

Post a Comment