Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Saturday, January 5, 2013

KIJANA ALA KICHAPO MARA BAADA YA KUIBA KITIMOTO NA BIA JIJINI DAR



Kijana mmoja ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja akilia kwa uchungu mara baada ya kupokea kichapo kutoka kwa wananchi wenye hasira kali mara baada ya kudaiwa ameiba nyama ya Nguruwe (Kitimoto) pamoja na Bia katika glosali jijini Dar es Salaam.
Mmoja ya wasamalia wema akimtetea kijana huyo ambaye alipokea kichapo.
Akijitetea.
Akisaidiwa na wasamalia wema.
Kijana anaedaiwa kuiba nyama ya Nguruwe (Kitimoto) na bia katika glosali iliyopo Namanga jijini Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment