Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, January 23, 2013

MAAJABU....MTOTO ALIEZIKWA MZIMA NA KUFUKULIWA NA KUKUTWA MZIMA .Angalia PICHA ya TUKIO ZIMA


Mama mmoja
nchini Nigeria ameamua kumzika mtoto wake akiwa hai. Baada ya taarifa kupatikana polisi walienda na kuamua kufukua. Baada ya kufukua walimkuta mtoto huyo na kumkimbiza hospitali aliposafishwa mtoto huyo alikutwa hai.

No comments:

Post a Comment