Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akizungumza na Wajumbe wa Baraza la Habari, Wahariri na Wamiliki wa Vyombo vya  Habari (hawapo pichani) kwenye makazi yake jijini Dar es salaam Januari 25, 2013. (Picha na  Ofisi ya Waziri Mkuu).