Kijana huyu mkazi wa kibaha kijiji cha kidimu anashikiliwa na
polisi kwa kosa la kumteka msichana wa kijijini hapo na kumfanya mateka
wake.Binti huyo alipotea kwao kwa miezi minne na kupatikana juzi taehe
26 baada ya kupata upenyo na kutoroka.Hawa vijana wametoka Kigoma na
walikuwa Kibaha wakitumika kama walinzi katika mashamba ya watu.
NIDA yakabidhi Serikali zaidi ya shilingi bilioni 61
-
Dar es Salaam, 1 Julai 2026 Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA)
inapenda kuufahamisha Umma wa Watanzania kuwa tarehe 30 Juni 2026,
imekabidhi Serikal...
5 hours ago



No comments:
Post a Comment