Kijana huyu mkazi wa kibaha kijiji cha kidimu anashikiliwa na
polisi kwa kosa la kumteka msichana wa kijijini hapo na kumfanya mateka
wake.Binti huyo alipotea kwao kwa miezi minne na kupatikana juzi taehe
26 baada ya kupata upenyo na kutoroka.Hawa vijana wametoka Kigoma na
walikuwa Kibaha wakitumika kama walinzi katika mashamba ya watu.
NAIBU WAZIRI WA NISHATI APONGEZA TPDC KWA JITIHADA ZA UENDELEZAJI WA
NISHATI YA MAFUTA NA GESI ASILIA
-
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amekutana na Uongozi wa
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) na kuwapongeza kwa jitihada
wanazoend...
1 hour ago



No comments:
Post a Comment