Kijana huyu mkazi wa kibaha kijiji cha kidimu anashikiliwa na
polisi kwa kosa la kumteka msichana wa kijijini hapo na kumfanya mateka
wake.Binti huyo alipotea kwao kwa miezi minne na kupatikana juzi taehe
26 baada ya kupata upenyo na kutoroka.Hawa vijana wametoka Kigoma na
walikuwa Kibaha wakitumika kama walinzi katika mashamba ya watu.
TIZESA YAFANYA KONGAMANO LA UWEKEZAJI KAGERA, WAWEKEZAJI KUPATA MADAWATI
NGAZI YA HALMASHAURI
-
NA DIANA DEUS_BUKOBA.
Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (TIZESA)
imewaahidi wawekezaji wazawa kuanzisha madawati ya uwekezaji kat...
1 hour ago



No comments:
Post a Comment