Kijana huyu mkazi wa kibaha kijiji cha kidimu anashikiliwa na
polisi kwa kosa la kumteka msichana wa kijijini hapo na kumfanya mateka
wake.Binti huyo alipotea kwao kwa miezi minne na kupatikana juzi taehe
26 baada ya kupata upenyo na kutoroka.Hawa vijana wametoka Kigoma na
walikuwa Kibaha wakitumika kama walinzi katika mashamba ya watu.
IGP Wambura afungua mafunzo ya kuimarisha maadili, weledi na uwajibikaji
Jeshi la Polisi
-
*Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Camillus Wambura, amefungua rasmi
mafunzo ya kuwajengea uwezo wa kiutendaji Sekretarieti ya Maadili ya Makao
Makuu ya...
31 minutes ago



No comments:
Post a Comment