Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Sunday, February 17, 2013

ARSENAL YAPIGWA GOLI 1 NA KUTUPWA NJE KOMBE LA FA



KLABU ya Arsenal imetolewa katika Kombe la FA baada ya kufungwa na Blackburn 1-0 katika mchezo wa Raundi ya Tano Uwanja wa Emirates leo.
The Gunners ambayo itapambana na Bayern Munich katika Ligi ya Mabingwa Ulaya Jumanne, leo iliwapumzisha wachezaji nyota kama Jack Wilshere, Theo Walcott na Santi Cazorla ambao kocha Arsene Wenger aliwaanzishia benchi kabla ya kuwaingiza baadaye.

VIKOSI VYA LEO

Arsenal: Szczesny, Vermaelen, Koscielny, Monreal, Diaby, Rosicky (Wilshere 70), Arteta, Oxlade-Chamberlain (Cazorla 70), Coquelin, Giroud, Gervinho (Walcott 70)
Benchi: Mannone, Sagna, Ramsey, Podolski
Kadi ya Njano: Coquelin

Blackburn: Kean, Orr, Martin Olsson, Dann, G Hanley, Lowe, Pedersen, Marcus Olsson (Bentley 63), Williamson, Rhodes (Goodwillie 83), Kazim-Richards
Benchi: Usai, Givet, Rekik, Nunes, Nuno Gomes
Kadi ya njano: Orr, Goodwillie
Mfungaji wa bao: Kazim-Richards dk72
Refa: Mike Dean
Mahudhurio: 60,070

Sucker punch: Colin Kazim-Richards put Blackburn Rovers ahead at the Emirates
Colin Kazim-Richards akiifungia Blackburn Rovers Uwanja wa Emirates
Sucker punch: Colin Kazim-Richards put Blackburn Rovers ahead at the Emirates
Swing and a miss: Gervinho holds his head in his hands after missing a gilt-edged chance
Gervinho akisikitika baada ya kukosa bao la wazi
No chance: Mikel Arteta fires a free-kick from distance, to no avail
Mikel Arteta akipiga mpira wa adhabu
Battle: Olivier Giroud (right) holds off Blackburn's Jason Lowe (left) as the pair fight for the ball
Olivier Giroud (kulia) akikabiliana na mchezaji wa Blackburn, Jason Lowe (kushoto) kugombea mpira
Big guns: Jack Wilshere (left), Theo Walcott (centre) and Santi Cazorla (right) were all sent on
Jack Wilshere (kushoto), Theo Walcott (katikati) na Santi Cazorla (kulia) wote waliingia kutokea benchi
Stout defence: Blackburn goalkeeper Jake Kean put on a competent showing between the sticks
Kipa wa Blackburn, Jake Kean leo alikuwa kikwazo kwa Arsenal
Probing: Alex Oxlade-Chamberlain (right) tries to find his way past Grant Hanley (left) during the FA Cup tie
Alex Oxlade-Chamberlain (kulia) akijaribu kumtoka Grant Hanley (kushoto)
Return: Tomas Rosicky was back in the Gunners' midfield for the visit of Blackburn Rovers
Tomas Rosicky alirejea kwenye safu ya kiungo ya The Gunners leo
Gutted: Theo Walcott cuts a dejected figure as he looks at the turf as the match draws to an end
Theo Walcott hoi
Contrast: Kazim-Richards is watched by glum-looking Arsenal fans after he fired his side into the lead
Kazim-Richards akishangilia mbele ya mashabiki wa Arsenal
Warm welcome: David Bentley (right) was handed his loan debut for Blackburn against his former club
David Bentley (kulia) aliichezea kwa mara ya kwanza Blackburn iliyomchukua kwa mkopo dhidi ya klabu yake ya zamani
In the mix: Referee's assistant Sian Massey checks the net before the match began
Refa Msaidizi, maarufu kama mshika kibendera, Sian Massey akikagua nyavu kabla ya mechi

No comments:

Post a Comment