Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Tuesday, February 12, 2013

Juliana Shonza ajiunga CCM


BREAKING NEWS DODOMA SASAIVI,,!!

Mtela Mwampamba na Juliana Shonza Warudi kundini,,!!

Dr J.Kikwete awapokea rasmi muda huu,,!!

Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa BAVICHA, Juliana Shonza ajiunga CCM rasmi mchana huu.
Dr J.Kikwete ampokea rasmi muda huu,,!!
pichani ni Juliana shonza akiwa kwenye mavazi ya CCM muda huu dodoma

No comments:

Post a Comment