Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, February 1, 2013

KUMI WAFA KWA AJALI YA BOTI ZANZIBAR



                                  Msemaji wa Mkuu wa Polisi nchini, Advera Senso 
BOTI ya abiria iliyokuwa ikitokea Pangani mkoani Tanga kwenda Zanzibar ikiwa na watu 32 juzi usiku ilizama katika eneo la Nungwi, Mkoa wa Kaskazini Zanzibar ambapo watu 10
wanahofiwa kuwa wamepoteza maisha.
Taaarifa zilizofikia gazeti hili jana jioni zilisema kati ya abiria 27 na wafanyakazi watano waliokuwa kwenye boti hiyo, ni watu 20 tu waliokuwa wameokolewa wakati wengine 10 wakiwa hawajulikani walipo.

No comments:

Post a Comment