Askari
Poilisi, wakikatiza katika mitaa ya Posta karibu kabisa na Ofisi za
Mkurugenzi Mkuu wa Mashitaka DPP, kulinda amani na kujiandaa kuwakabili
waandamanaji wanaodaiwa waislam waliopanga kuandamana hadi katika Ofisi
hizo leo baada ya swala ya Ijumaa wakiwa na lengo la kushinikiza
kuachiwa kwa Sheikh Ponda. Askari hao wamelazimika kutumia mabomu ya
machozi ili kuwatawanya waandamani hao ambapo baadhi yao wanashikiliwa
na polisi kwa kukaidi amri iliyotolewa na Jeshi la Polisi ya
kutoandamana.
NAIBU WAZIRI KIHENZILE ATEMBELEA BANDA LA TCAA MKUTANO WA 18 WA PAMOJA WA
MAPITIO YA SEKTA YA USAFIRISHAJI
-
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile, Disemba 15, 2025
ametembelea banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) katika
Mkutano wa 18 wa...
7 hours ago


No comments:
Post a Comment