Askari
Poilisi, wakikatiza katika mitaa ya Posta karibu kabisa na Ofisi za
Mkurugenzi Mkuu wa Mashitaka DPP, kulinda amani na kujiandaa kuwakabili
waandamanaji wanaodaiwa waislam waliopanga kuandamana hadi katika Ofisi
hizo leo baada ya swala ya Ijumaa wakiwa na lengo la kushinikiza
kuachiwa kwa Sheikh Ponda. Askari hao wamelazimika kutumia mabomu ya
machozi ili kuwatawanya waandamani hao ambapo baadhi yao wanashikiliwa
na polisi kwa kukaidi amri iliyotolewa na Jeshi la Polisi ya
kutoandamana.
HALMASHAURI KUU YA CCM MBEYA YAMPATIA TUZO YA HESHIMA DC ITUNDA
-
📍Yataja utendaji wake kama kiungo muhimu kwenye chama na serikali
*NA MWANDISHI WETU, MBEYA
Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Mbeya...
1 hour ago


No comments:
Post a Comment