Askari
Poilisi, wakikatiza katika mitaa ya Posta karibu kabisa na Ofisi za
Mkurugenzi Mkuu wa Mashitaka DPP, kulinda amani na kujiandaa kuwakabili
waandamanaji wanaodaiwa waislam waliopanga kuandamana hadi katika Ofisi
hizo leo baada ya swala ya Ijumaa wakiwa na lengo la kushinikiza
kuachiwa kwa Sheikh Ponda. Askari hao wamelazimika kutumia mabomu ya
machozi ili kuwatawanya waandamani hao ambapo baadhi yao wanashikiliwa
na polisi kwa kukaidi amri iliyotolewa na Jeshi la Polisi ya
kutoandamana.
CHANDE : TUSISHAWISHIWE KUVUNJA AMANI YETU, NI CHACHU YA MAENDELEO
-
Mwandishi Wetu, Morogoro
NAIBU Waziri wa Fedha ,Hamad Hassan Chande amesema Serikali ya Awamu ya
Sita imeifungua nchi kidiplomasia ya kimataifa ambapo...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment