Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, February 1, 2013

MTOTO WA AJABU AZALIWA AKIWA NA MACHO MATATU NA KICHWA MFANO WA UYOGA IRINGA



 mtoto  zawadi Godfrey Mwingune mwenye  siku 19 kama anavyoonekana akiwa na macho matatu na uvimbe mkubwa  katika paji lake la uso  huku  kichwani kukiwa  na nundu mfano  wa uyoga ambayo inatoa usaa mwingi
 Hivi  ndivyo mtato  zawadi anavyoonekana kichwa chake  uzito  wake ni  kg 4 na nusu alizaliwa hospitali ya kibena Njombe ni mwenyeji  wa Ikengeza Isimani mkoa  wa Iringa
 Hapa mtoto  zawadi akiwa amejipumzisha katika  kitanda
Wazazi  wa mtoto  Zawadi Gofrey Mwingune Bw Godfrey Mwingune (30) na mama wa mtoto huyo Mathar Kitago (28) wakimtazama mtoto  wao kwa huzuni mwingi kutokana na kukosa  fedha za matibabu kwa ajili ya kumsafirisha mtoto  huyo kwenda kufanyiwa upasuaji katika Hospitali ya Taifa

No comments:

Post a Comment