Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Monday, February 18, 2013

RIPOTI MAALUM:WIZI WA FEDHA KATIKA ATM ULIVYOFANYIKA




KUKUA kwa teknolojia za fedha ambako kumerahisisha ufanisi wa matumizi na utunzaji fedha, kunaonekana kugeuka kuwa balaa kutokana na kuibuka kwa wizi wa fedha zilizohifadhiwa kwenye akaunti za wateja. Taarifa za wizi huu zilianza kurindima Machi 2010 na Sh300 bilioni ziliibwa kwa njia ya mtandao  kupitia mashine za ATM,   kati ya kiasi hicho Sh360 milioni zikihusisha benki moja ya NBC. Hata hivyo, mwaka huo walikamatwa watu wanne baada ya kuripotiwa wizi huo mkubwa, sambamba na taarifa za kukamatwa kwa watu hao alikamatwa mfanyabiashara mmoja aliyefanya jaribio la kuiba  Sh221 milioni kutoka Benki ya NBC. Wimbi la wizi huo..
Ilimeibuka tena Oktoba mwaka jana hadi Februari mwaka huu, inakadiriwa Sh700 milioni zimeibwa Benki ya NMB na benki zingine kwa nyakati tofauti.

No comments:

Post a Comment