Mwili wa mtu huyu ulikutwa umetupwa maeneo ya Tegeta-Kondo ndani ya uzio wa kiwanja karibu na makaburi ya Kondo juzi tarehe 21-02-2013 sehemu ya mwili ukiwa umefukiwa kama anavyoonekana.
Polisi walikuwepo wakiwahoji wakazi wa nyumba iliyo ndani ya uzio huo.
Nimeongea sasa hivi na mtu wa maeneo hayo kujua kilichojiri, ni kwamba huyo mtu alikuja kutambuliwa, ni mzee aliyekuwa mlinzi kwenye baa ya mzee mmoja anaitwa Mwaipopo iko maeneo ya Bahari Beach, baada ya kutoonekana kazini watoto wa huyo mzee katika kufuatilia ndo wakaja kugundua ndiye aliyekuwa amekufa pale (walimtambua baada ya kufukuliwa) ingawa ilibidi azikwe maeneo hayohayo kutokana na mwili wake kuwa umeharibika sana.
WAZIRI NDEJEMBI ATEMBELEA OSHA, ASISITIZA UWEKEZAJI ZAIDI KATIKA TEHAMA
-
Na Mwandishi Wetu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu),
Deogratius Ndejembi amefanya ziara katika Ofisi za Wakala wa...
22 minutes ago
No comments:
Post a Comment