BAADA ya
Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kupata demu mpya, Penniel Mungilwa
‘Penny’, Jokate Mwegelo ametoa baraka zake kwa jamaa huyo aliyewahi
kudaiwa kuwa mpenzi wake akisema haoni tatizo wawili hao kuwa pamoja
kama kweli wamependana na kuridhiana.
Rais Samia aokoa maisha ya mwananchi mwenye Kansa
-
*Na Mwandishi Wetu.*
*Bibi Clotilda Isidory Kokupima, mkazi wa Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma,
amemtembelea Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEM...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment