BAADA ya
Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kupata demu mpya, Penniel Mungilwa
‘Penny’, Jokate Mwegelo ametoa baraka zake kwa jamaa huyo aliyewahi
kudaiwa kuwa mpenzi wake akisema haoni tatizo wawili hao kuwa pamoja
kama kweli wamependana na kuridhiana.
Exim Bank yazidi kuwekeza katika maendeleo ya jamii Zanzibar
-
*Na Mwandishi Wetu*
*Zanzibar. Benki ya Exim Tanzania imeendelea kuthibitisha dhamira yake ya
kuchangia maendeleo ya jamii kupitia mpango wake wa Uwajibi...
1 day ago

No comments:
Post a Comment