Francis
Joseph Nyerere, ambaye ni kitindamimba wa Mzee Joseph Nyerere,
amepandisha bendera ya Chadema nyumbani kwao, Mwananyamala jijini Dar es
Salaam. Katika picha hii ni wa kwanza kushoto mwa bendera. Kushoto
kwake ni Mpiganaji Tundu Lissu wakati wa uzinduzi wa Tawi hilo. Francis anaungana na Vincent ambaye ni mbunge wa Musoma Mjini (Chadema).
WANAWAKE WANAOSUMBUKA KUPATA MTOTO, TUMIA NJIA HII!
-
Jina langu ni Sauda kutokea Moshi Tanzania, nimeishi katika ndoa zaidi ya
miaka saba sasa na mume wangu, Jose katika miaka mitano ya mwanzo katika
ndoa y...
22 minutes ago
No comments:
Post a Comment