Francis
Joseph Nyerere, ambaye ni kitindamimba wa Mzee Joseph Nyerere,
amepandisha bendera ya Chadema nyumbani kwao, Mwananyamala jijini Dar es
Salaam. Katika picha hii ni wa kwanza kushoto mwa bendera. Kushoto
kwake ni Mpiganaji Tundu Lissu wakati wa uzinduzi wa Tawi hilo. Francis anaungana na Vincent ambaye ni mbunge wa Musoma Mjini (Chadema).
TUZO YA MWALIMU NYERERE YAWANUFAISHA WAANDISHI 27
-
*Na.Mwandishi Wetu*
*Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema Tuzo
ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu imeend...
32 minutes ago

No comments:
Post a Comment