Francis
Joseph Nyerere, ambaye ni kitindamimba wa Mzee Joseph Nyerere,
amepandisha bendera ya Chadema nyumbani kwao, Mwananyamala jijini Dar es
Salaam. Katika picha hii ni wa kwanza kushoto mwa bendera. Kushoto
kwake ni Mpiganaji Tundu Lissu wakati wa uzinduzi wa Tawi hilo. Francis anaungana na Vincent ambaye ni mbunge wa Musoma Mjini (Chadema).
DKT. MWIGULU AWAPONGEZA VIONGOZI WILAYA YA HAI KUSIMAMIA VIZURI SEKONDARI
YA MBATAKERO
-
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewapongeza viongozi wa Halmashauri ya
Wilaya ya Hai kwa kusimamia vizuri mradi wa ujenzi wa shule mpya ya
sekondari ya...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment