Francis
Joseph Nyerere, ambaye ni kitindamimba wa Mzee Joseph Nyerere,
amepandisha bendera ya Chadema nyumbani kwao, Mwananyamala jijini Dar es
Salaam. Katika picha hii ni wa kwanza kushoto mwa bendera. Kushoto
kwake ni Mpiganaji Tundu Lissu wakati wa uzinduzi wa Tawi hilo. Francis anaungana na Vincent ambaye ni mbunge wa Musoma Mjini (Chadema).
DC SUMAYE AIPONGEZA TFS KUANDAA MAGAMBA WALKATHON
-
Na Oscar Assenga, LUSHOTO.
MKUU wa wilaya ya Lushoto Mkoani Tanga Zephania Sumaye ameipongeza Hifadhi
ya Mazingira Asili ya Magamba wilayani Lushoto ...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment