Francis
Joseph Nyerere, ambaye ni kitindamimba wa Mzee Joseph Nyerere,
amepandisha bendera ya Chadema nyumbani kwao, Mwananyamala jijini Dar es
Salaam. Katika picha hii ni wa kwanza kushoto mwa bendera. Kushoto
kwake ni Mpiganaji Tundu Lissu wakati wa uzinduzi wa Tawi hilo. Francis anaungana na Vincent ambaye ni mbunge wa Musoma Mjini (Chadema).
Mariam Ibrahim Ahimiza Matumizi ya Nishati Safi Mkuranga
-
*Na Mwandishi Wetu.*
*MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani, Mariam Ibrahim, ameendelea
kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia.*
*Ameyasema hayo le...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment