Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Monday, March 25, 2013

CHIDY BENZI AMPIGA NGWEA NJE YA CLUB




Rapper Chidi Benz, amempiga Cow Bama a,k,a Ngwea nje ya Ambassador Lounge ikiyoko Mkapa tower, posta, usiku wa kuamkia leo.ugomvi huo ulitokea baada ya Chidi
kumzingua Dully alipokua akiingia, ambapo mwisho wake aliamua kuondoka. Alipoondoka Dully Ngwea akamuuliza inakuaje unamzingua kubwa lao, ndipo Chidi alipopaniki na kuanza kutoa lugha chafu huku akitaka kutokumsikiliza Ngwea, inasemekana Ngwea aliamua kukaa kimya lakini Chidi aliendelea kuOngea kwa hasira na kusema "ndio nimemzingua kwani yeye nani" na kumbadilikia Ngwea

No comments:

Post a Comment