Rapper
Chidi Benz, amempiga Cow Bama a,k,a Ngwea nje ya Ambassador Lounge
ikiyoko Mkapa tower, posta, usiku wa kuamkia leo.ugomvi huo ulitokea
baada ya Chidi
kumzingua
Dully alipokua akiingia, ambapo mwisho wake aliamua kuondoka.
Alipoondoka Dully Ngwea akamuuliza inakuaje unamzingua kubwa lao, ndipo
Chidi alipopaniki na kuanza kutoa lugha chafu huku akitaka
kutokumsikiliza Ngwea, inasemekana Ngwea aliamua kukaa kimya lakini
Chidi aliendelea kuOngea kwa hasira na kusema "ndio nimemzingua kwani
yeye nani" na kumbadilikia Ngwea
NAFASI YA KUNYAKUA MSHINDO UNAYO NDANI YA MERIDIANBET LEO
-
JE unajua kuwa leo hii una nafasi kubwa ya kuondoka na mshiko wa uhakika
ndani ya Meridianbet endapo utabashiri mechi zako za leo ambazo zina ODDS
za kij...
26 minutes ago
No comments:
Post a Comment