
…………………………………………………………………..
Na. Aron Msigwa – Dar es salaam.
Watanzania
wametakiwa kujenga tabia ya kuvitumia vituo vya afya kupima afya ya
figo mara kwa mara na kupata ushauri na tiba mapema pindi
wanapogundulika kuwa na matatatizo ya figo ili kuepuka kusababisha
usugu wa ugonjwa huo.
Waziri
wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Hussein Mwinyi ametoa kauli hiyo leo
jijini wakati akitoa tamko kuhusu maadhimisho ya Siku ya Afya duniani
yatakayofanyika tarehe 14 mwezi huu duniani kote.
No comments:
Post a Comment