Bint
aliyejulikana Mariam umemkuta umauti baada ya kubakwa mpaka kufa,vijana
hao waliokosa utu na kushindwa kumuogopa Mungu walifanya kitendo hicho
mbele ya eneo la kanisa(Voda st)Nachingwea Lindi.Marehemu akitoka
Nachingwea Resort(NR) ktk muziki cku ya ijumaa.Inasadikika marehemu
alilewa na wabakaji alitoka nao muziki.
NBAA YAENDELEA KUTOA ELIMU YA TAALUMA YA UHASIBU KWA WANAFUNZI WA CHUO
KIKUU CHA MZUMBE
-
Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imeendelea
kutoa elimu na mafunzo kwa vyuo vikuu pamoja na shule za sekondari ikiwa na ...
1 day ago


No comments:
Post a Comment