Bint
aliyejulikana Mariam umemkuta umauti baada ya kubakwa mpaka kufa,vijana
hao waliokosa utu na kushindwa kumuogopa Mungu walifanya kitendo hicho
mbele ya eneo la kanisa(Voda st)Nachingwea Lindi.Marehemu akitoka
Nachingwea Resort(NR) ktk muziki cku ya ijumaa.Inasadikika marehemu
alilewa na wabakaji alitoka nao muziki.
HUDUMA ZA AFYA KUIMARISHWA KWA WAATHIRIKA WA WANYAMAPORI SERENGETI
-
Na Janeth Raphael MichuziTv - Bungeni Dodoma
Serikali imeeleza kuwa inaendelea kutekeleza mikakati mbalimbali ya
kuimarisha huduma za afya kwa wananchi wa...
54 minutes ago


No comments:
Post a Comment