Bint
aliyejulikana Mariam umemkuta umauti baada ya kubakwa mpaka kufa,vijana
hao waliokosa utu na kushindwa kumuogopa Mungu walifanya kitendo hicho
mbele ya eneo la kanisa(Voda st)Nachingwea Lindi.Marehemu akitoka
Nachingwea Resort(NR) ktk muziki cku ya ijumaa.Inasadikika marehemu
alilewa na wabakaji alitoka nao muziki.
Wakazi Aenda Mahakamani Kupinga Hukumu ya Kesi ya Baba Levo
-
*Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.*
*Msanii wa muziki wa hip hop nchini, Wakazi (Webiro Wasira), ameanza rasmi
mchakato wa kisheria kupinga hukumu iliyot...
1 hour ago


No comments:
Post a Comment