Bint
aliyejulikana Mariam umemkuta umauti baada ya kubakwa mpaka kufa,vijana
hao waliokosa utu na kushindwa kumuogopa Mungu walifanya kitendo hicho
mbele ya eneo la kanisa(Voda st)Nachingwea Lindi.Marehemu akitoka
Nachingwea Resort(NR) ktk muziki cku ya ijumaa.Inasadikika marehemu
alilewa na wabakaji alitoka nao muziki.
BANK OF AFRICA-TANZANIA YAMZAWADIA MSHINDI WA MWISHO WA KAMPENI YAKE YA
KIDIGITALI YA “INGIA B-MOBILE UTOKE NA IPHONE 15 ”
-
Meneja wa Bank of Africa Tanzania Tawi la Arusha Francis Mizambwa,
akimkabidhi zawadi ya simu mshindi wa droo ya tatu ya kampeni ya kidijitali
ya BOA Inno...
31 minutes ago
No comments:
Post a Comment