Katika
hali isiyo kuwa ya kawaida hacker waendele
kusumbua sasa ni zamu ya tovuti ya serikali ya makamu wa rais kilicho
andikwa nimatusi kwa maandishi na kuna muziki wa hiphop wa
mitusi.. Kuna mtu anajiita Govt Attacker. Mr. Spam ..! Eti ni Mmoroco.
Home -
uone. Je hii inamaanisha nini kwa systems zetu za mawasiliano kuwa
rahisi
kufanyiwa uhuni kama hivyi mpaka lini.
WIZARA YA AFYA YASIKITISHWA NA WANAOTAPELI KWA JINA LA MCHENGERWA
-
WIZARA ya Afya imesikitishwa na kitendo cha baadhi ya watu wenye nia ovu
ambao wamekuwa wakitumia jina la Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Omary
Mchengerwa ku...
10 hours ago

No comments:
Post a Comment