Mjukuu wake aitwaye Omar ameiambia Bongo5 kwa simu muda mfupi uliopita kuwa Bi. Kidude alikuwa amelazwa kwa muda mrefu kutokana na kusumbuliwa na maradhi ya sukari na uvimbe kwenye kongosho.
“Kwa ufupi alilazwa kipindi kirefu na baadaye akatolewa, lakini baadaye akaja kuendelea kuumwa tena tukampeleka hospitali tukawa tunampeleka kwenda na kurudi hapa juzi akaanza kuzidiwa tena tukampeleka hospitali moja inaitwa Keeni (???) Kwaajili ya matibabu zaidi na drip na vitu vingine lakini baadaye baada ya siku ya tatu mwenyezi Mungu akachukua roho yake,” amesema Omar.
TANROADS Dodoma yapokea bilioni 15.6 Kutoka Mfuko wa Barabara
-
Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Barabara Mhandisi Mussa Natty, akimuelekeza
jambo Mkurugenzi wa Matengenezo ya Barabara TANROADS Mhandisi Dkt.
Christina Ka...
38 minutes ago

No comments:
Post a Comment