Mjukuu wake aitwaye Omar ameiambia Bongo5 kwa simu muda mfupi uliopita kuwa Bi. Kidude alikuwa amelazwa kwa muda mrefu kutokana na kusumbuliwa na maradhi ya sukari na uvimbe kwenye kongosho.
“Kwa ufupi alilazwa kipindi kirefu na baadaye akatolewa, lakini baadaye akaja kuendelea kuumwa tena tukampeleka hospitali tukawa tunampeleka kwenda na kurudi hapa juzi akaanza kuzidiwa tena tukampeleka hospitali moja inaitwa Keeni (???) Kwaajili ya matibabu zaidi na drip na vitu vingine lakini baadaye baada ya siku ya tatu mwenyezi Mungu akachukua roho yake,” amesema Omar.
WMA YAENDELEZA UKAGUZI WA VIPIMO KUDHIBITI UFUNGASHAJI USIOZINGATIA VIPIMO
SAHIHI
-
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA) wamekamata magari mawili yaliyokuwa
yamepakia mazao kwa kutumia magunia yenye uzito unao...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment