MWANAFUNZI AJULIKANAYE KWA JINA LA HENRY KOVA AMECHOMWA KISU ALIPO KUWA
AKIPITA MAENEO YA SDA ,KWA MUJIBU WA CLASSMATE WAKE DAVID MAWOLE AMEONGEA NA MTANDAO HUU NA KUELEZEA KWAMBA MWENZAO ALICHOMWA KISU CHA SHINGONI NA VIBAKA HAO WAKATI AKIPITA ENEO HILO AKITOKEA NJIRO COMPLEX NA PIA WALISEMA ALIKUWA NA SIMU NA LAPTOP NA BAADHI YA VITU,TUNAENDELEA KUFUATILIA NA KUPATA TAARIFA ZAIDI,
MFUMO WA “ONGEA NA WAZIRI” WAIMARISHA MAWASILIANO KATI YA SERIKALI NA
WANANCHI
-
Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Mchengerwa, amesema mfumo wa “Ongea na Waziri”
ni daraja muhimu kati ya serikali na wananchi unaolenga kusikiliza moja kwa
m...
48 minutes ago


No comments:
Post a Comment