MWANAFUNZI AJULIKANAYE KWA JINA LA HENRY KOVA AMECHOMWA KISU ALIPO KUWA
AKIPITA MAENEO YA SDA ,KWA MUJIBU WA CLASSMATE WAKE DAVID MAWOLE AMEONGEA NA MTANDAO HUU NA KUELEZEA KWAMBA MWENZAO ALICHOMWA KISU CHA SHINGONI NA VIBAKA HAO WAKATI AKIPITA ENEO HILO AKITOKEA NJIRO COMPLEX NA PIA WALISEMA ALIKUWA NA SIMU NA LAPTOP NA BAADHI YA VITU,TUNAENDELEA KUFUATILIA NA KUPATA TAARIFA ZAIDI,
Serikali yaanzisha Uchunguzi Hospitali ya Temeke, Tuhuma za Rushwa
zachunguzwa
-
Dodoma Desemba 26, 2025: Serikali imeanzisha uchunguzi wa kina kuhusu
mwenendo wa utoaji wa huduma katika Hospitali ya Temeke, ikiwemo kuzimwa
kwa mashine...
8 hours ago


No comments:
Post a Comment