MWANAFUNZI AJULIKANAYE KWA JINA LA HENRY KOVA AMECHOMWA KISU ALIPO KUWA
AKIPITA MAENEO YA SDA ,KWA MUJIBU WA CLASSMATE WAKE DAVID MAWOLE AMEONGEA NA MTANDAO HUU NA KUELEZEA KWAMBA MWENZAO ALICHOMWA KISU CHA SHINGONI NA VIBAKA HAO WAKATI AKIPITA ENEO HILO AKITOKEA NJIRO COMPLEX NA PIA WALISEMA ALIKUWA NA SIMU NA LAPTOP NA BAADHI YA VITU,TUNAENDELEA KUFUATILIA NA KUPATA TAARIFA ZAIDI,
RAIS SAMIA APONGEZWA KWA KUKWAMUA UJENZI WA KITEGA UCHUMI CHA NSSF MWANZA
-
Na. Mwandishi wetu, Mwanza
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imempongeza Rais
Samia Suluhu Hassan kwa kuridhia Mfuko wa Hifadhi ya ...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment