Walinzi
wa Chadema wakiwa wameninginia kwenye gari la Kiongozi wa Upinzani
Bungeni, Freeman Mbowe wakati wakielekea kwenye
mkutano wa hadhara wa
chama hicho uliofanyika katika Uwanja wa Wajenzi, mjini Dodoma, Jumamosi
iliyopita. Picha na Edwin Mjwahuzi
Serikali yaanzisha Uchunguzi Hospitali ya Temeke, Tuhuma za Rushwa
zachunguzwa
-
Dodoma Desemba 26, 2025: Serikali imeanzisha uchunguzi wa kina kuhusu
mwenendo wa utoaji wa huduma katika Hospitali ya Temeke, ikiwemo kuzimwa
kwa mashine...
10 hours ago


No comments:
Post a Comment