Mashirika ya kijamii yafanya maandamano dhidi ya mishahara ya wabunge. Baadhi ya waandamanaji wamwaga nguruwe walioandikwa “MPigs,” bungeni Kenya, wakilinganisha Wabunge (MPs) na nguruwe. Pia wamemwaga damu kama ishara ya ulafi na unyonyaji wa wabunge
MEYA KIBAHA KUTOA ZAIDI YA MILION 18 KUCHIMBA VISIMA VINNE KUPUNGUZA KERO
YA MAJI PANGANI
-
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha Disemba 22, 2025
Baadhi ya wananchi wa Mtaa wa Kidimu, Kata ya Pangani, Halmashauri ya
Manispaa ya Kibaha wanakabiliwa na uhaba...
9 hours ago

No comments:
Post a Comment