Yule
mkali kutoka TANZANIA HOUSE OF TALENT (TH) Mkali wa hit single ya AM
SORRY ELIAS BARNABAS A.K.A BARNABA hivi karibuni alikuwa nchini kenya
kwa ajili ya kusign mkataba mnono na bank ya barclays na kutengeneza
nyimbo maalum ambayo itakuwa kama nyimbo ya kuamasisha wananchi wa
kitanzania afya za wakina mama na wajawazito na afya zao, BARNABA NA
KIDUMU ndio mabalozi wa huo mradi, Wameshaingia studio na kidumu kwa
ajili yakupata sound tofauti na test tofauti. na baada ya hapo mradi huo
na wimbo huo utazinduliwa mapematarehe 8mwenzi ujao.
WANAHABARI WAHIMIZWA KUONGOZA MAPAMBANO YA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA TANZANIA
-
Na Janeth Raphael - MichuziTv
Waandishi wa habari na Maafisa Mawasiliano wa Serikali wametakiwa kutumia
nafasi yao ya kuelimisha na kuhamasisha jamii kuhu...
52 minutes ago

No comments:
Post a Comment