Yule
mkali kutoka TANZANIA HOUSE OF TALENT (TH) Mkali wa hit single ya AM
SORRY ELIAS BARNABAS A.K.A BARNABA hivi karibuni alikuwa nchini kenya
kwa ajili ya kusign mkataba mnono na bank ya barclays na kutengeneza
nyimbo maalum ambayo itakuwa kama nyimbo ya kuamasisha wananchi wa
kitanzania afya za wakina mama na wajawazito na afya zao, BARNABA NA
KIDUMU ndio mabalozi wa huo mradi, Wameshaingia studio na kidumu kwa
ajili yakupata sound tofauti na test tofauti. na baada ya hapo mradi huo
na wimbo huo utazinduliwa mapematarehe 8mwenzi ujao.
WAZIRI MKUU ATIMIZA AHADI YA PIKIPIKI 10 KWA VIKUNDI VYA BODABODA RUNGWE
-
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, ametimiza ahadi yake ya kutoa pikipiki
10 kwa vikundi vya waendesha bodaboda wilayani Rungwe, mkoani Mbeya, ikiwa
ni j...
5 hours ago

No comments:
Post a Comment