Yule
mkali kutoka TANZANIA HOUSE OF TALENT (TH) Mkali wa hit single ya AM
SORRY ELIAS BARNABAS A.K.A BARNABA hivi karibuni alikuwa nchini kenya
kwa ajili ya kusign mkataba mnono na bank ya barclays na kutengeneza
nyimbo maalum ambayo itakuwa kama nyimbo ya kuamasisha wananchi wa
kitanzania afya za wakina mama na wajawazito na afya zao, BARNABA NA
KIDUMU ndio mabalozi wa huo mradi, Wameshaingia studio na kidumu kwa
ajili yakupata sound tofauti na test tofauti. na baada ya hapo mradi huo
na wimbo huo utazinduliwa mapematarehe 8mwenzi ujao.
MIAKA 18 BAADAYE: JK AKUTANA TENA NA CATHERINE, BINTI ALIYEFANYIWA UPASUAJI
WA MOYO AKIWA NA MIAKA MINNE
-
RAIS mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, leo Mei 29, 2026
amekutana tena na Bi. Catherine P. Conrad Minja, aliyefanyiwa upasuaji wa
moy...
18 hours ago

No comments:
Post a Comment