
Mshambuliaji
wa timu ya manchester united Robin Van Persie Amekabidhiwakiatu cha
dhabu akiwa mfungaji bora wa ligi kuu england msimu wa 2012/2013 kwa
kufunga magoli 26 Kwa msimu huu.Mchezaji huyo kutoka uholanzi amechukua
kiatu hicho msimu wa pili mvululizo ambapo mwaka jana alichukua akiwa
anaichezea timu ya arsenal kabla ya kuhamia manchester united msimu huu,

No comments:
Post a Comment